Michael Jackson's Last Home For Sale
Posted: Thursday, August 5, 2010 by chimwemwe in Labels: ©chimwemwe christopher. All Right Reserved
0
The Los Angeles Mansion ambamo alikuwa akiishi ''The King Of Pop'' imeweka kwenye mnada na kampuni RealEstalker.com kwa bei ya $28.9 Million,
Michael Jackson alikuwa anapangisha Mansion hiyo yenye vyumba 7, mabafu 13, Freplaces 12, bwawa la kuogelea, Chumba cha wageni, chumba cha mazoezi, chumba cha kuangalia cimena na wine cellar inamilikiwa na Herbert Gues, C.E.O wa kampuni ya nguo ya kimarekani ya Ed Hardy iko Holmby Hills huko Los Angeles
Michael Jackson alikuwa anapangisha Mansion hiyo yenye vyumba 7, mabafu 13, Freplaces 12, bwawa la kuogelea, Chumba cha wageni, chumba cha mazoezi, chumba cha kuangalia cimena na wine cellar inamilikiwa na Herbert Gues, C.E.O wa kampuni ya nguo ya kimarekani ya Ed Hardy iko Holmby Hills huko Los Angeles